واملي لهم ان كيدي متين ٤٥
وَأُمْلِى لَهُمْ ۚ إِنَّ كَيْدِى مَتِينٌ ٤٥
وَاُمْلِیْ
لَهُمْ ؕ
اِنَّ
كَیْدِیْ
مَتِیْنٌ
۟
3
Na ninawapa muhula na kuurefusha umri wao, wapate kuendelea kufanya dhambi. Hakika vitimbi vyangu kwa watu makafiri ni vya nguvu na vikali.