ان للمتقين عند ربهم جنات النعيم ٣٤
إِنَّ لِلْمُتَّقِينَ عِندَ رَبِّهِمْ جَنَّـٰتِ ٱلنَّعِيمِ ٣٤
اِنَّ
لِلْمُتَّقِیْنَ
عِنْدَ
رَبِّهِمْ
جَنّٰتِ
النَّعِیْمِ
۟
3
Hakika wale waliojikinga na mateso ya Mwenyezi Mungu kwa kufanya yale Aliyowaamrisha na kuacha yale Aliyoyakataza, watapata kwa Mola wao huko Akhera, mabustani ya Peponi ambayo ndani yake kuna starehe za daima.