افلا يتدبرون القران ام على قلوب اقفالها ٢٤
أَفَلَا يَتَدَبَّرُونَ ٱلْقُرْءَانَ أَمْ عَلَىٰ قُلُوبٍ أَقْفَالُهَآ ٢٤
اَفَلَا
یَتَدَبَّرُوْنَ
الْقُرْاٰنَ
اَمْ
عَلٰی
قُلُوْبٍ
اَقْفَالُهَا
۟
3
Je, si wayazingatie mawaidha ya Qur’ani wanafiki hawa na wazifikirie hoja zake? Lakini nyoyo hizi zimefungwa, hakuna kitu cha hii Qur’ani kinachozifikia, hivyo basi haziyatii akilini mawaidha ya Mwenyezi Mungu na mazingatio yake.