والذين اهتدوا زادهم هدى واتاهم تقواهم ١٧
وَٱلَّذِينَ ٱهْتَدَوْا۟ زَادَهُمْ هُدًۭى وَءَاتَىٰهُمْ تَقْوَىٰهُمْ ١٧
وَالَّذِیْنَ
اهْتَدَوْا
زَادَهُمْ
هُدًی
وَّاٰتٰىهُمْ
تَقْوٰىهُمْ
۟
3
Na wale walioongoka kuifuata haki, Mwenyezi Mungu Aliwaongezea uongofu , na kwa hivyo uongofu wao ukapata nguvu na Akawaafikia kwenye uchamungu na akaufanya sahali kwao.