فراغ الى الهتهم فقال الا تاكلون ٩١
فَرَاغَ إِلَىٰٓ ءَالِهَتِهِمْ فَقَالَ أَلَا تَأْكُلُونَ ٩١
فَرَاغَ
اِلٰۤی
اٰلِهَتِهِمْ
فَقَالَ
اَلَا
تَاْكُلُوْنَ
۟ۚ
3
Akabeta kwa haraka kuelekea kwenye masanamu wa watu wake, akasema kwa njia ya kuwakejeli, «Si mkile chakula hiki ambacho washika mlango wenu wanawapatia?