Enyi mlio amini! Msiwafanye Mayahudi na Wakristo kuwa ni marafiki. Wao ni marafiki wao kwa wao. Na miongoni mwenu mwenye kufanya urafiki nao, basi huyo ni katika wao. Hakika Mwenyezi Mungu hawaongoi watu wenye kudhulumu.
Notes placeholders
Mpendwa Sahaba wa Quran,
Tumejitolea kutumikia ulimwengu kupitia elimu ya Qur'ani pamoja na teknolojia, bila malipo.
Fursa nzuri ya kutoa sadaka endelevu (Sadaqa Jariyah). Wekeza katika Akhera yako kama mfadhili wa kila mwezi (au mara moja).