ويكلم الناس في المهد وكهلا ومن الصالحين ٤٦
وَيُكَلِّمُ ٱلنَّاسَ فِى ٱلْمَهْدِ وَكَهْلًۭا وَمِنَ ٱلصَّـٰلِحِينَ ٤٦

٤٦

Naye atazungumza na watu katika utoto wake na katika utuuzima wake, na atakuwa katika watu wema.
Notes placeholders