Hata Mitume walipo kata tamaa na wakaona kuwa wamekadhibishwa, hapo ikawajia nusura yetu, wakaokolewa tuwatakao. Na adhabu yetu haitowawacha kaumu ya wakosefu.
Notes placeholders
Mpendwa Sahaba wa Quran,
Tumejitolea kutumikia ulimwengu kupitia elimu ya Qur'ani pamoja na teknolojia, bila malipo.
Fursa nzuri ya kutoa sadaka endelevu (Sadaqa Jariyah). Wekeza katika Akhera yako kama mfadhili wa kila mwezi (au mara moja).