Ingia
🚀 Jiunge na Changamoto yetu ya Ramadhani!
Jifunze zaidi
🚀 Jiunge na Changamoto yetu ya Ramadhani!
Jifunze zaidi
Ingia
Ingia
Chagua Lugha
Taarifa ya Sura
051

Sura Adh-Dhaariyat

Aya:

60

Mahali iliteremshwa:

Makka

Ali Muhsin Al-Barwani - Swahili Translation of Al-Muntakhab

SURAT ADH-DHAARIYAAT 

(Imeteremka Makka) 

Sura hii imeanza kwa kiapo cha ukweli wa kufufuliwa na kutokea malipo. Kisha ikafuatisha kwa kiapo kingine juu ya ubabaishi wa wanao kanya katika maneno yao juu ya Mtume Wa Mwenyezi Mungu, na juu ya Qur'ani tukufu Kisha ikaingia kuwaonya wanao kanya kuwa watapata mwisho muovu katika Akhera. Tena ikaeleza waliyo ahidiwa wachamngu katika malipo ya vitendo vyao vyema walivyo vitanguliza duniani. Kisha kawazindua watu wazingatie Ishara za Mwenyezi Mungu katika kuumba kwake, na katika nafsi zao, na katika mambo ya ufundi wa ajabu na uzuri wa umbo alio uweka humo.

Na ikasimulia kisa cha Ibrahim na wageni wake Malaika, kisha ikaeleza hali za baadhi ya mataifa na maangamizo yaliyo wasibu kwa kuwakadhibisha Manabii wao. Kisha ikaashiria kwa jumla baadhi ya Ishara za uumbaji, na ikahimiza watu warejee kwa Mwenyezi Mungu, na wamuabudu Yeye peke yake, ambayo hayo ndio makusudi ya kuumbwa majini na watu. Na Sura imekhitimisha kwa kuwaonya wanao mkadhibisha Mtume wa Mwenyezi Mungu s.a.w. kuwa watapata adhabu iliyo kwisha wapata kaumu za kabla yao.

He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel
— Dr. Mustafa Khattab, the Clear Quran
Notes placeholders
Soma, Sikiliza, Tafuta, na Tafakari Qur'ani

Quran.com ni jukwaa linaloaminika na linalotumiwa na mamilioni duniani kote kusoma, kutafuta, kusikiliza na kutafakari kuhusu Qur'ani katika lugha tofauti. Inatoa huduma za tarjuma, tafsiri, vikariri, tarjuma ya neno kwa neno, na zana za ufahamu wa kina, kuifanya Qur'ani ipatikane na kila mtu.

Kama mbinu ya Sadaqah Jariyah, Quran.com imejitolea kusaidia watu kuunganishwa kwa kina na Qur'ani. Ikiungwa mkono na Quran.Foundation , shirika lisilo la faida la 501(c)(3), Quran.com inaendelea kukua kama rasilimali ya bila malipo na yenye thamani kwa wote, Alhamdulillah.

Chunguza
Nyumbani
Redio ya Qur'ani
Wasomaji
Kutuhusu
Watengenezaji
Sasisho za Bidhaa
Maoni
Msaada
Miradi Yetu
Quran.com
Quran For Android
Quran iOS
QuranReflect.com
Sunnah.com
Nuqayah.com
Legacy.Quran.com
Corpus.Quran.com
Miradi isiyo ya faida inayomilikiwa, kusimamiwa, au kufadhiliwa na Quran.Foundation
Viungo Maarufu

Ayatul Kursi

Yaseen

Al Mulk

Ar-Rahman

Al Waqi'ah

Al Kahf

Al Muzzammil

Ramani ya tovutiFaraghaSheria na Masharti
© 2026 Quran.com. Haki Zote Zimehifadhiwa