Ingia
🚀 Jiunge na Changamoto yetu ya Ramadhani!
Jifunze zaidi
🚀 Jiunge na Changamoto yetu ya Ramadhani!
Jifunze zaidi
Ingia
Ingia
Chagua Lugha
Taarifa ya Sura
073

Sura Al-Muzzammil

Aya:

20

Mahali iliteremshwa:

Makka

Ali Muhsin Al-Barwani - Swahili Translation of Al-Muntakhab

SURAT AL-MUZZAMMIL 

(Imeteremka Makka)

Katika Sura hii Mwenyezi Mungu amemuamrisha Mtume wake asimame sehemu kubwa ya usiku kwa ajili ya Sala na kusoma Qur'ani kwa utulivu. Akawa anasimama yeye na kikundi cha wale walio kuwa pamoja naye Kisha Mwenvezi Mungu aliwapunguzia na akawaamrisha Sala, na Zaka, na Sadaka na Kuomba maghfira.

Na miongoni ya hayo akamuamrisha avumilie kwa wayasemayo wale wanao kadhibisha, na awaachilie iwapate adhabu aliyo waahidi Mwenyezi Mungu; na Yeye amewaonya makafiri kwa mfano wa adhabu iliyo mshukia Firauni na walio kuwa pamoja naye, walipo muasi Mtume wa Mola wao Mlezi, na akawakhofisha kwa vitisho vya Kiyama.

He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel
— Dr. Mustafa Khattab, the Clear Quran
Notes placeholders
Soma, Sikiliza, Tafuta, na Tafakari Qur'ani

Quran.com ni jukwaa linaloaminika na linalotumiwa na mamilioni duniani kote kusoma, kutafuta, kusikiliza na kutafakari kuhusu Qur'ani katika lugha tofauti. Inatoa huduma za tarjuma, tafsiri, vikariri, tarjuma ya neno kwa neno, na zana za ufahamu wa kina, kuifanya Qur'ani ipatikane na kila mtu.

Kama mbinu ya Sadaqah Jariyah, Quran.com imejitolea kusaidia watu kuunganishwa kwa kina na Qur'ani. Ikiungwa mkono na Quran.Foundation , shirika lisilo la faida la 501(c)(3), Quran.com inaendelea kukua kama rasilimali ya bila malipo na yenye thamani kwa wote, Alhamdulillah.

Chunguza
Nyumbani
Redio ya Qur'ani
Wasomaji
Kutuhusu
Watengenezaji
Sasisho za Bidhaa
Maoni
Msaada
Miradi Yetu
Quran.com
Quran For Android
Quran iOS
QuranReflect.com
Sunnah.com
Nuqayah.com
Legacy.Quran.com
Corpus.Quran.com
Miradi isiyo ya faida inayomilikiwa, kusimamiwa, au kufadhiliwa na Quran.Foundation
Viungo Maarufu

Ayatul Kursi

Yaseen

Al Mulk

Ar-Rahman

Al Waqi'ah

Al Kahf

Al Muzzammil

Ramani ya tovutiFaraghaSheria na Masharti
© 2026 Quran.com. Haki Zote Zimehifadhiwa