Aya:
8
Mahali iliteremshwa:
Madina
Ali Muhsin Al-Barwani - Swahili Translation of Al-Muntakhab
SURAT AZ-ZILZALAH
(Imeteremka Madina)
Aya za Sura hii zote hazipindukii hali za Kiyama:-
Mtikisiko wa ardhi, na kutoka khazina na maiti binaadamu na kuuliza kwake kwa yale yaliyo makaburini mwao kwa mtafaruku wende kupokea malipo yao!