🎯 Endelea kufuatilia!
Unda Lengo Langu
🎯 Endelea kufuatilia!
Unda Lengo Langu
Ingia
Ingia
Taarifa ya Sura
076

Sura Ad-Dahr

Aya:

31

Mahali iliteremshwa:

Madina

SURAT AL-INSAN 

(Imeteremka Madina)

Sura hii imekusanya maneno juu ya kuumbwa kwa binaadamu na kujaribiwa kwake, na kutayarishwa kwake aweze kumshukuru Mwenyezi Mungu au kumkufuru. Na imekusanya mazungumzo juu ya malipo ya makafiri; na imefafanua neema alizo wafadhili Mwenyezi Mungu Waumini, kisha ikageukia kusema na Mtume wa Mwenyezi Mungu s.a.w. na kumtajia alivyo neemeshwa kwa kuteremshiwa Qur’ani, na ikamuamrisha asubiri na adumu katika utiifu. Na Sura inawaonya wanao ipenda dunia na wakaifadhilisha Kuliko Akhera, na ikasimulia kwa mawaidha ya Aya hizi, na ikakhusisha kunafiika kwazo pindi akipenda Mwenyezi Mungu Mtukufu, na ikazifanya rehema za Mwenyezi Mungu na adhabu zake kuwa zinategemea hukumu yake na pendo lake.

He has revealed to you ËąO ProphetËş the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel
— Dr. Mustafa Khattab, the Clear Quran
Notes placeholders
Soma, Sikiliza, Tafuta, na Tafakari Qur'ani

Quran.com ni jukwaa linaloaminika na linalotumiwa na mamilioni duniani kote kusoma, kutafuta, kusikiliza na kutafakari kuhusu Qur'ani katika lugha tofauti. Inatoa huduma za tarjuma, tafsiri, vikariri, tarjuma ya neno kwa neno, na zana za ufahamu wa kina, kuifanya Qur'ani ipatikane na kila mtu.

Kama mbinu ya Sadaqah Jariyah, Quran.com imejitolea kusaidia watu kuunganishwa kwa kina na Qur'ani. Ikiungwa mkono na Quran.Foundation , shirika lisilo la faida la 501(c)(3), Quran.com inaendelea kukua kama rasilimali ya bila malipo na yenye thamani kwa wote, Alhamdulillah.

Chunguza
Nyumbani
Redio ya Qur'ani
Wasomaji
Kutuhusu
Watengenezaji
Sasisho za Bidhaa
Maoni
Msaada
Miradi Yetu
Quran.com
Quran For Android
Quran iOS
QuranReflect.com
Sunnah.com
Nuqayah.com
Legacy.Quran.com
Corpus.Quran.com
Miradi isiyo ya faida inayomilikiwa, kusimamiwa, au kufadhiliwa na Quran.Foundation
Viungo Maarufu

Ayatul Kursi

Yaseen

Al Mulk

Ar-Rahman

Al Waqi'ah

Al Kahf

Al Muzzammil

Ramani ya tovutiFaraghaSheria na Masharti
© 2026 Quran.com. Haki Zote Zimehifadhiwa