Changia kwa utume wetu
Changia sasa
Ingia
Mipangilio
Tarjuma
Soma
27:71
وَيَقُولُونَ
مَتَىٰ
هَٰذَا
ٱلۡوَعۡدُ
إِن
كُنتُمۡ
صَٰدِقِينَ
٧١
Na wanasema: Ahadi hii itatokea lini, ikiwa mnasema kweli?
27:72
قُلۡ
عَسَىٰٓ
أَن
يَكُونَ
رَدِفَ
لَكُم
بَعۡضُ
ٱلَّذِي
تَسۡتَعۡجِلُونَ
٧٢
Sema: Asaa ni karibu kukufikieni sehemu ya yale mnayo yahimiza.
27:73
وَإِنَّ
رَبَّكَ
لَذُو
فَضۡلٍ
عَلَى
ٱلنَّاسِ
وَلَٰكِنَّ
أَكۡثَرَهُمۡ
لَا
يَشۡكُرُونَ
٧٣
Na hakika Mola wako Mlezi ni Mwenye fadhila kwa watu, lakini wengi wao hawashukuru.
Notes placeholders
close