٧١

Na wanasema: Ahadi hii itatokea lini, ikiwa mnasema kweli?
٧٢
Sema: Asaa ni karibu kukufikieni sehemu ya yale mnayo yahimiza.
٧٣
Na hakika Mola wako Mlezi ni Mwenye fadhila kwa watu, lakini wengi wao hawashukuru.
Notes placeholders