Changia kwa utume wetu
Changia sasa
Ingia
Mipangilio
Tarjuma
Soma
21:69
قُلۡنَا
يَٰنَارُ
كُونِي
بَرۡدٗا
وَسَلَٰمًا
عَلَىٰٓ
إِبۡرَٰهِيمَ
٦٩
Sisi tukasema: Ewe moto! Kuwa baridi na salama kwa Ibrahim!
21:70
وَأَرَادُواْ
بِهِۦ
كَيۡدٗا
فَجَعَلۡنَٰهُمُ
ٱلۡأَخۡسَرِينَ
٧٠
Wao walimkusudia maovu, lakini Sisi tukawafanya wao ndio walio khasiri.
21:71
وَنَجَّيۡنَٰهُ
وَلُوطًا
إِلَى
ٱلۡأَرۡضِ
ٱلَّتِي
بَٰرَكۡنَا
فِيهَا
لِلۡعَٰلَمِينَ
٧١
Na tukamwokoa yeye na Luut'i tukawapeleka kwenye nchi tulio ibariki kwa ajili ya walimwengu wote.
Notes placeholders
close