٦٩

Sisi tukasema: Ewe moto! Kuwa baridi na salama kwa Ibrahim!
٧٠
Wao walimkusudia maovu, lakini Sisi tukawafanya wao ndio walio khasiri.
٧١
Na tukamwokoa yeye na Luut'i tukawapeleka kwenye nchi tulio ibariki kwa ajili ya walimwengu wote.
Notes placeholders