٧٧

Nayo hakika ni Uwongofu na Rehema kwa Waumini.
٧٨
Hakika Mola wako Mlezi atawahukumu kwa hukumu yake, naye ni Mwenye nguvu Mjuzi.
٧٩
Basi mtegemee Mweneyezi Mungu; hakika wewe uko juu ya Haki iliyo wazi.
Notes placeholders