٤٩

Basi alipo jitenga nao na yale waliyo kuwa wakiyaabudu badala ya Mwenyezi Mungu, tulimpa Is-haq na Yaaqub, na kila mmoja tukamfanya Nabii.
٥٠
Na tukawapa rehema zetu na tukawajaalia kupewa sifa za kweli tukufu.
Notes placeholders