٥١

Hakika wachamngu watakuwa katika mahali pa amani,
٥٢
Katika mabustani na chemchem,
٥٣
Watavaa hariri nyepesi na hariri nzito wakikabiliana,
٥٤
Hivi ndivyo itakavyo kuwa, na tutawaoza mahurilaini.
Notes placeholders