١٩

Hawa wagomvi wawili walio gombana kwa ajili ya Mola wao Mlezi. Basi walio kufuru watakatiwa nguo za moto, na yatamiminwa juu ya vichwa vyao maji yanayo chemka.
٢٠
Kwa maji hayo vitayayushwa viliomo matumboni mwao, na ngozi zao pia.
Notes placeholders