Na walipo toka kupambana na Jaluti na majeshi yake walisema: Mola wetu Mlezi! Tumiminie subira, na isimamishe imara miguu yetu, na utusaidie tuwashinde watu Makafiri--
–Sura Al-Baqarah [2:250]
انصرني على القوم المفسدين ٣٠
ٱنصُرْنِى عَلَى ٱلْقَوْمِ ٱلْمُفْسِدِينَ ٣٠
ٱنصُرۡنِي
عَلَى
ٱلۡقَوۡمِ
ٱلۡمُفۡسِدِينَ
٣٠
Akasema: Ewe Mola wangu Mlezi! Ninusuru na watu mafisadi hawa!
–Sura Al-'Ankabut [29:30]
فدعا ربه اني مغلوب فانتصر ١٠
فَدَعَا رَبَّهُۥٓ أَنِّى مَغْلُوبٌۭ فَٱنتَصِرْ ١٠
فَدَعَا
رَبَّهُۥٓ
أَنِّي
مَغۡلُوبٞ
فَٱنتَصِرۡ
١٠
Basi akamwomba Mola wake Mlezi akasema: Kwa hakika mimi nimeshindwa, basi ninusuru!