Wakasema: Tunamtegemea Mwenyezi Mungu. Ewe Mola wetu Mlezi! Usitufanye wenye kutiwa misukosuko na hao watu madhaalimu. (85) Na utuokoe kwa rehema yako na watu makafiri. (86)
–Sura Yunus [10:85-86]
اما تريني ما يوعدون ٩٣ رب فلا تجعلني في القوم الظالمين ٩٤
Na Mwenyezi Mungu amewapigia mfano walio amini - mkewe Firauni, alipo sema: Mola wangu Mlezi! Nijengee kwako nyumba Peponi, na uniokoe na Firauni na vitendo vyake, na uniokoe na watu madhaalimu.