Na sema: Mola wangu Mlezi! Niingize muingizo mwema, na unitoe kutoka kwema. Na unipe nguvu zinazo toka kwako zinisaidie.
–Sura Al-Isra [17:80]
زدني علما ١١٤
زِدْنِى عِلْمًۭا ١١٤
زِدۡنِي
عِلۡمٗا
١١٤
Ametukuka Mwenyezi Mungu, Mfalme wa Haki. Wala usiifanyie haraka hii Qur'ani, kabla haujamalizika ufunuo wake. Na sema: Mola wangu Mlezi! Nizidishie ilimu.
–Sura Taha [20:114]
احكم بالحق وربنا الرحمان المستعان على ما تصفون ١١٢