Na Dhun-Nun alipoondoka hali ameghadhibika, na akadhani ya kwamba hatutakuwa na uwezo juu yake. Basi aliita katika giza: Hapana mungu isipo kuwa Wewe Subhanaka Uliye takasika. Hakika mimi nilikuwa miongoni mwa wenye kudhulumu.
–Sura Al-Anbya [21:87]
هب لنا من ازواجنا وذرياتنا قرة اعين واجعلنا للمتقين اماما ٧٤