Ingia
Ingia
Ingia
Chagua Lugha
English
العربية
বাংলা
فارسی
Français
Indonesia
Italiano
Dutch
Português
русский
Shqip
ภาษาไทย
Türkçe
اردو
简体中文
Melayu
Español
Kiswahili
Tiếng Việt
Rudi kwenye kitufe cha Gundua
Duas for Confidence
Shiriki
اشرح لي صدري ٢٥ ويسر لي امري ٢٦ واحلل عقدة من لساني ٢٧ يفقهوا قولي ٢٨
ٱشْرَحْ لِى صَدْرِى ٢٥ وَيَسِّرْ لِىٓ أَمْرِى ٢٦ وَٱحْلُلْ عُقْدَةًۭ مِّن لِّسَانِى ٢٧ يَفْقَهُواْ قَوْلِى ٢٨
ٱشۡرَحۡ
لِي
صَدۡرِي
٢٥
وَيَسِّرۡ
لِيٓ
أَمۡرِي
٢٦
وَٱحۡلُلۡ
عُقۡدَةٗ
مِّن
لِّسَانِي
٢٧
يَفۡقَهُواْ
قَوۡلِي
٢٨
(Musa) akasema: Ewe Mola wangu Mlezi! Nikunjulie kifua changu, (25) Na unifanyie nyepesi kazi yangu, (26) Na ulifungue fundo lililo katika ulimi wangu, (27) Wapate kufahamu maneno yangu. (28)
–
Sura Taha [20:25-28]
نجني من القوم الظالمين ٢١
نَجِّنِى مِنَ ٱلْقَوْمِ ٱلظَّـٰلِمِينَ ٢١
نَجِّنِي
مِنَ
ٱلۡقَوۡمِ
ٱلظَّٰلِمِينَ
٢١
Basi akatoka, naye ana khofu, akiangalia huku na huku. Akasema: Mola wangu Mlezi! Niokoe na watu madhaalimu.
–
Sura Al-Qasas [28:21]
ربي ان يهديني سواء السبيل ٢٢
رَبِّىٓ أَن يَهْدِيَنِى سَوَآءَ ٱلسَّبِيلِ ٢٢
رَبِّيٓ
أَن
يَهۡدِيَنِي
سَوَآءَ
ٱلسَّبِيلِ
٢٢
Na alipo elekea upande wa Madyana alisema: Asaa Mola wangu Mlezi akaniongoa njia iliyo sawa.
–
Sura Al-Qasas [28:22]
اني لما انزلت الي من خير فقير ٢٤
إِنِّى لِمَآ أَنزَلْتَ إِلَىَّ مِنْ خَيْرٍْ فَقِيرٌۭ ٢٤
إِنِّي
لِمَآ
أَنزَلۡتَ
إِلَيَّ
مِنۡ
خَيۡرٖ
فَقِيرٞ
٢٤
Basi Musa akawanyweshea; kisha akarudi kivulini, na akasema: Mola wangu Mlezi! Hakika mimi ni mhitaji wa kheri utakayo niteremshia.
–
Sura Al-Qasas [28:24]