Ingia
Ingia
Ingia
Chagua Lugha

Rudi kwenye kitufe cha Gundua

Duas for Black Magic Protection

Duas for Black Magic Protection
اعوذ بك من همزات الشياطين ٩٧ واعوذ بك رب ان يحضرون ٩٨
أَعُوذُ بِكَ مِنْ هَمَزَٰتِ ٱلشَّيَـٰطِينِ ٩٧ وَأَعُوذُ بِكَ رَبِّ أَن يَحْضُرُونِ ٩٨

أَعُوذُ
بِكَ
مِنۡ
هَمَزَٰتِ
ٱلشَّيَٰطِينِ
٩٧
وَأَعُوذُ
بِكَ
رَبِّ
أَن
يَحۡضُرُونِ
٩٨

Na sema: Mola wangu Mlezi! Najikinga kwako na wasiwasi wa mashet'ani. (97) Na najikinga kwako, Mola wangu Mlezi, wasinikaribie. (98)
–Sura Al-Mu'minun [23:97-98]
قل اعوذ برب الفلق ١ من شر ما خلق ٢ ومن شر غاسق اذا وقب ٣ ومن شر النفاثات في العقد ٤ ومن شر حاسد اذا حسد ٥
قُلْ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلْفَلَقِ ١ مِن شَرِّ مَا خَلَقَ ٢ وَمِن شَرِّ غَاسِقٍ إِذَا وَقَبَ ٣ وَمِن شَرِّ ٱلنَّفَّـٰثَـٰتِ فِى ٱلْعُقَدِ ٤ وَمِن شَرِّ حَاسِدٍ إِذَا حَسَدَ ٥

قُلۡ
أَعُوذُ
بِرَبِّ
ٱلۡفَلَقِ
١
مِن
شَرِّ
مَا
خَلَقَ
٢
وَمِن
شَرِّ
غَاسِقٍ
إِذَا
وَقَبَ
٣
وَمِن
شَرِّ
ٱلنَّفَّٰثَٰتِ
فِي
ٱلۡعُقَدِ
٤
وَمِن
شَرِّ
حَاسِدٍ
إِذَا
حَسَدَ
٥

Sema: Najikinga kwa Mola Mlezi wa mapambazuko, (1) Na shari ya alivyo viumba, (2) Na shari ya giza la usiku liingiapo, (3) Na shari ya wanao pulizia mafundoni, (4) Na shari ya hasidi anapo husudu. (5)
–Sura Al-Falaq [113:1-5]
قل اعوذ برب الناس ١ ملك الناس ٢ الاه الناس ٣ من شر الوسواس الخناس ٤ الذي يوسوس في صدور الناس ٥ من الجنة والناس ٦
قُلْ أَعُوذُ بِرَبِّ ٱلنَّاسِ ١ مَلِكِ ٱلنَّاسِ ٢ إِلَـٰهِ ٱلنَّاسِ ٣ مِن شَرِّ ٱلْوَسْوَاسِ ٱلْخَنَّاسِ ٤ ٱلَّذِى يُوَسْوِسُ فِى صُدُورِ ٱلنَّاسِ ٥ مِنَ ٱلْجِنَّةِ وَٱلنَّاسِ ٦

قُلۡ
أَعُوذُ
بِرَبِّ
ٱلنَّاسِ
١
مَلِكِ
ٱلنَّاسِ
٢
إِلَٰهِ
ٱلنَّاسِ
٣
مِن
شَرِّ
ٱلۡوَسۡوَاسِ
ٱلۡخَنَّاسِ
٤
ٱلَّذِي
يُوَسۡوِسُ
فِي
صُدُورِ
ٱلنَّاسِ
٥
مِنَ
ٱلۡجِنَّةِ
وَٱلنَّاسِ
٦

Sema: Ninajikinga kwa Mola Mlezi wa wanaadamu, (1) Mfalme wa wanaadamu, (2) Mungu wa wanaadamu, (3) Na shari ya wasiwasi wa Shetani, Khannas, (4) Anaye tia wasiwasi katika vifua vya watu, (5) Kutokana na majini na wanaadamu. (6)
–Sura An-Nas [114:1-6]

Endelea Kuungana na Qur'ani ❤️

Vikumbusho vifupi vyenye maana vinavyoweka upya maisha yako, kukusaidia kutafakari na kuendelea kushikamana na Qur'ani.

Soma, Sikiliza, Tafuta, na Tafakari Qur'ani

Quran.com ni jukwaa linaloaminika na linalotumiwa na mamilioni duniani kote kusoma, kutafuta, kusikiliza na kutafakari kuhusu Qur'ani katika lugha tofauti. Inatoa huduma za tarjuma, tafsiri, vikariri, tarjuma ya neno kwa neno, na zana za ufahamu wa kina, kuifanya Qur'ani ipatikane na kila mtu.

Kama mbinu ya Sadaqah Jariyah, Quran.com imejitolea kusaidia watu kuunganishwa kwa kina na Qur'ani. Ikiungwa mkono na Quran.Foundation , shirika lisilo la faida la 501(c)(3), Quran.com inaendelea kukua kama rasilimali ya bila malipo na yenye thamani kwa wote, Alhamdulillah.

Chunguza
Nyumbani
Redio ya Qur'ani
Wasomaji
Kutuhusu
Watengenezaji
Sasisho za Bidhaa
Maoni
Msaada
Changia
Miradi Yetu
Quran.com
Quran For Android
Quran iOS
QuranReflect.com
Quran.AI
Sunnah.com
Nuqayah.com
Legacy.Quran.com
Corpus.Quran.com
Miradi isiyo ya faida inayomilikiwa, kusimamiwa, au kufadhiliwa na Quran.Foundation
Viungo Maarufu

Ayatul Kursi

Yaseen

Al Mulk

Ar-Rahman

Al Waqi'ah

Al Kahf

Al Muzzammil

Ramani ya tovutiFaraghaSheria na Masharti
© 2026 Quran.com. Haki Zote Zimehifadhiwa
Changia