٩٩

Na akasema: Hakika mimi nahama, nakwenda kwa Mola wangu Mlezi; Yeye ataniongoa.
١٠٠
Ewe Mola wangu Mlezi! Nitunukie aliye miongoni mwa watenda mema.
١٠١
Basi tukambashiria mwana aliye mpole.
Notes placeholders