٢٩

Je! Nyinyi mnawaingilia wanaume, na mnaikata njia? Na katika mikutano yenu mnafanya maovu? Basi haikuwa jawabu ya watu wake isipo kuwa kusema: Tuletee hiyo adhabu ya Mwenyezi Mungu ikiwa wewe ni katika wasemao kweli.
٣٠
Akasema: Ewe Mola wangu Mlezi! Ninusuru na watu mafisadi hawa!
Notes placeholders