Changia kwa utume wetu
Changia sasa
Ingia
Mipangilio
Tarjuma
Soma
54:33
كَذَّبَتۡ
قَوۡمُ
لُوطِۭ
بِٱلنُّذُرِ
٣٣
Kaumu Lut'i nao waliwakadhibisha Waonyaji.
54:34
إِنَّآ
أَرۡسَلۡنَا
عَلَيۡهِمۡ
حَاصِبًا
إِلَّآ
ءَالَ
لُوطٖۖ
نَّجَّيۡنَٰهُم
بِسَحَرٖ
٣٤
Hakika Sisi tukawapelekea kimbunga cha vijiwe, isipo kuwa wafuasi wa Lut'i. Hao tuliwaokoa karibu na alfajiri.
54:35
نِّعۡمَةٗ
مِّنۡ
عِندِنَاۚ
كَذَٰلِكَ
نَجۡزِي
مَن
شَكَرَ
٣٥
Kwa neema inayo toka kwetu. Hivyo ndivyo tumlipavyo anaye shukuru.
54:36
وَلَقَدۡ
أَنذَرَهُم
بَطۡشَتَنَا
فَتَمَارَوۡاْ
بِٱلنُّذُرِ
٣٦
Na hakika yeye aliwaonya adhabu yetu; lakini wao waliyatilia shaka hayo maonyo.
Notes placeholders
close