Changia kwa utume wetu
Changia sasa
Ingia
Mipangilio
Tarjuma
Soma
4:103
فَإِذَا
قَضَيۡتُمُ
ٱلصَّلَوٰةَ
فَٱذۡكُرُواْ
ٱللَّهَ
قِيَٰمٗا
وَقُعُودٗا
وَعَلَىٰ
جُنُوبِكُمۡۚ
فَإِذَا
ٱطۡمَأۡنَنتُمۡ
فَأَقِيمُواْ
ٱلصَّلَوٰةَۚ
إِنَّ
ٱلصَّلَوٰةَ
كَانَتۡ
عَلَى
ٱلۡمُؤۡمِنِينَ
كِتَٰبٗا
مَّوۡقُوتٗا
١٠٣
Mkisha sali basi mkumbukeni Mwenyezi Mungu mkisimama, na mkikaa, na mnapo jinyoosha kwa kulala. Na mtapo tulia basi shikeni Sala kama dasturi. Kwani hakika Sala kwa Waumini ni faradhi iliyo wekewa nyakati maalumu.
Notes placeholders
close