Changia kwa utume wetu
Changia sasa
Ingia
Mipangilio
Tarjuma
Soma
16:58
وَإِذَا
بُشِّرَ
أَحَدُهُم
بِٱلۡأُنثَىٰ
ظَلَّ
وَجۡهُهُۥ
مُسۡوَدّٗا
وَهُوَ
كَظِيمٞ
٥٨
Na mmoja wao akibashiriwa kwa msichana, uso wake unasawijika, naye kajaa chuki.
16:59
يَتَوَٰرَىٰ
مِنَ
ٱلۡقَوۡمِ
مِن
سُوٓءِ
مَا
بُشِّرَ
بِهِۦٓۚ
أَيُمۡسِكُهُۥ
عَلَىٰ
هُونٍ
أَمۡ
يَدُسُّهُۥ
فِي
ٱلتُّرَابِۗ
أَلَا
سَآءَ
مَا
يَحۡكُمُونَ
٥٩
Anajificha asionekane na watu kwa ubaya wa aliyo bashiriwa! Je, akae naye juu ya fedheha hiyo au amfukie udongoni? Tazama uovu wa wanavyo hukumu!
16:60
لِلَّذِينَ
لَا
يُؤۡمِنُونَ
بِٱلۡأٓخِرَةِ
مَثَلُ
ٱلسَّوۡءِۖ
وَلِلَّهِ
ٱلۡمَثَلُ
ٱلۡأَعۡلَىٰۚ
وَهُوَ
ٱلۡعَزِيزُ
ٱلۡحَكِيمُ
٦٠
Hali ya wasio iamini Akhera ni ovu; na Mwenyezi Mungu ndiye Mwenye sifa tukufu. Naye ni Mwenye nguvu na Mwenye hikima.
Notes placeholders
close