Changia kwa utume wetu
Changia sasa
Ingia
Mipangilio
Tarjuma
Soma
5:38
وَٱلسَّارِقُ
وَٱلسَّارِقَةُ
فَٱقۡطَعُوٓاْ
أَيۡدِيَهُمَا
جَزَآءَۢ
بِمَا
كَسَبَا
نَكَٰلٗا
مِّنَ
ٱللَّهِۗ
وَٱللَّهُ
عَزِيزٌ
حَكِيمٞ
٣٨
Na mwizi mwanamume na mwizi mwanamke, ikateni mikono yao, hayo ni malipo ya waliyo yachuma, ndiyo adhabu ya mfano itokayo kwa Mwenyezi Mungu. Na Mwenyezi Mungu ni Mwenye nguvu na Mwenye hikima.
Notes placeholders
close