090surah
Diterjemahkan oleh
Ali Muhsin Al-Barwani (Ubah)

١

Naapa kwa Mji huu!
٢
Nawe unaukaa Mji huu.
٣
Na naapa kwa mzazi na alicho kizaa.
٤
Hakika tumemuumba mtu katika taabu.
Notes placeholders