فلا يصدنك عنها من لا يومن بها واتبع هواه فتردى ١٦
فَلَا يَصُدَّنَّكَ عَنْهَا مَن لَّا يُؤْمِنُ بِهَا وَٱتَّبَعَ هَوَىٰهُ فَتَرْدَىٰ ١٦
فَلَا
یَصُدَّنَّكَ
عَنْهَا
مَنْ
لَّا
یُؤْمِنُ
بِهَا
وَاتَّبَعَ
هَوٰىهُ
فَتَرْدٰی
۟
3
Basi asikuepushe, ewe Mūsā, na kukiamini na kujitayarisha nacho, asiyekikubali kuwa kitatukia na asiyetenda ya kumfaa huko na akayafuata matamanio ya nafsi yake na akakikanusha, kwani ukifanya hivyo utaangamia.