و اگر او (= فرستاده) را فرشتهای قرار میدادیم، حتما وی را به صورت یک مرد در میآوردیم، باز هم (به گمان آنان کار را بر آنها) مشتبه میساختیم همانگونه که آنها (بر خود و دیگران) مشتبه میسازند (و جای شبه باقی میماند).
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na lau kama tulimfanya mtume aliyeteremshwa kwao ni Malaika, kwani hawakukinai na Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, tungalimfanya Malaika huyo kwenye sura za mwanadamu, ili waweze kumsikia na kusema naye. Kwani haimkiniki kwao kumuona Malaika katika sura zake za kimalaika. Na lau Malaika aliwajia kwa sura za mtu, jambo hilo lingaliwafanya wachanganyikiwe kama lilivyowafanya wachanganyikiwe jambo la Muhammad , rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel