(ای پیامبر) بتحقیق پیامبران پیش از تو (نیز) مسخره شدند، پس (سزای) آنچه مسخرهاش میکردند؛ بر سر تمسخر کنندگان فرود آمد (و آنها را احاطه کرد).
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Na kwa kuwa kutaka kwao kuteremshwa Malaika kulikuwa ni kwa njia ya kumfanyia shere Muhammad, rehema ya Mwenyezi Mungu na amani zimshukie, Mwenyeyezi Mungu, Aliyetukuka, Aliwaelezea kwamba kuwafanyia shere Mitume, amani iwashukie, si jambo jipya; kwani jambo hilo lilitukia kwa makafiri waliopita kuwafanyia Mitume wao, wakazungukwa na adhabu ambayo walikuwa wakiifanyia shere na wakipinga kuja kwake.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel