پس الله به خاطر این سخن که گفتند، به آنها باغهایی (از بهشت) پاداش داد که از زیر (درختان) آن نهرها جاری است، و جاودانه در آن خواهند ماند، و این است جزای نیکو کاران.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Mwenyezi Mungu Akawalipa, kwa waliyoyasema ya kujienzi kwa kuuamini kwao Uislamu na kutaka kwao kuwa pamoja na watu wema, mabustani ya Pepo ambayo, chini ya miti yake inapita mito, hali ya kukaa humo, hawatatolewa humo wala hawatahamishwa. Hayo ndiyo malipo ya wema wao wa maneno na vitendo.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel