آنگاه پس از آنان (فرزندان) ناخلفانی جانشین شدند که نماز را (ضایع و) ترک کردند و از شهوات پیروی کردند، پس بهزودی (کیفر) گمراهی (خود) را خواهند یافت.
تفاسیر
لایهها
درس ها
بازتاب ها
پاسخها
قیراط
حدیث
Wakaja, baada ya hawa walioneemeshwa, wafuasi wabaya, waliacha Swala kabisa au waliitoa nje ya wakati wake au waliacha nguzo zake na mambo yake ya lazima na wakafuata yanayolingana na kunasibiana na matamanio yao. Basi hao watapata shari na upotevu na kupita patupu ndani ya Jahanamu.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel