فالقاها فاذا هي حية تسعى ٢٠
فَأَلْقَىٰهَا فَإِذَا هِىَ حَيَّةٌۭ تَسْعَىٰ ٢٠
فَاَلْقٰىهَا
فَاِذَا
هِیَ
حَیَّةٌ
تَسْعٰی
۟
Mūsā akaitupa chini, ikageuka kwa amri ya Mwenyezi Mungu ikawa nyoka anayetembea, na Mūsā akaona jambo kubwa na akazunguka kukimbia.