۞ لقد كان في يوسف واخوته ايات للسايلين ٧
۞ لَّقَدْ كَانَ فِى يُوسُفَ وَإِخْوَتِهِۦٓ ءَايَـٰتٌۭ لِّلسَّآئِلِينَ ٧
لَقَدْ
كَانَ
فِیْ
یُوْسُفَ
وَاِخْوَتِهٖۤ
اٰیٰتٌ
لِّلسَّآىِٕلِیْنَ
۟
Hakika katika kisa cha Yūsuf na ndugu zake kuna mazingatio na dalili za uweza wa Mwenyezi Mungu na hekima Yake kwa anyeuliza habari zao na akataka kuzijua.