And had they observed the Torah, the Gospel, and what has been revealed to them from their Lord, they would have been overwhelmed with provisions from above and below. Some among them are upright, yet many do nothing but evil.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Na lau kama wao wangaliyatekeleza yaliyomo ndani ya Taurati na Injili na yale uliyoteremshiwa wewe, ewe Mtume, nayo ni Qur’ani, wangalipata riziki kutoka kila njia: tukawateremshia mvua na kuwaoteshea matunda. Na haya ni malipo ya duniani. Na kwa hakika, miongoni mwa watu waliepewa Kitabu, lipo kundi la wastani lililojikita kwenye haki. Na wengi kati yao , vitendo vyao ni viovu na wamepotea njia ya sawa.
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel