Zachariah said, “My Lord! Grant me a sign.” He responded, “Your sign is that you will not ˹be able to˺ speak to people for three nights, despite being healthy.”
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qiraat
Hadith
Zakariyyā akasema kutaka kujituliza zaidi, «Mola wangu! Nipe alama ya kwamba kile ambacho Malaika wamenibashiria nacho kishapatikana.» Akasema, «Alama yako ni kutoweza kusema na watu kwa muda wa masiku matatu na michana yake na hali wewe ni mzima mwenye afya.»
He has revealed to you ˹O Prophet˺ the Book in truth, confirming what came before it, as He revealed the Torah and the Gospel