Alif-Lãm-Ra. These are the verses of the clear Book.
Tafsirs
Layers
Lessons
Reflections
Answers
Qira'at
Hadith
Alif, Lām, Rā’. Maneno yametangulia juu ya herufi zilizokatwa na kutengwa mwanzo wa sura ya Al-Baqrah. Hizi ni aya za Kitabu kilichobainika kilicho wazi katika maana yake, mahalalisho yake, maharamisho yake na uongofu wake.