ام عندهم الغيب فهم يكتبون ٤٧
أَمْ عِندَهُمُ ٱلْغَيْبُ فَهُمْ يَكْتُبُونَ ٤٧
اَمْ
عِنْدَهُمُ
الْغَیْبُ
فَهُمْ
یَكْتُبُوْنَ
۟
3
Au wao wana ujuzi wa ghaibu, wakawa wanaandika kutokana nao kile wanachokiamulia nafsi zao kwamba wao wana cheo bora zaidi kwa Mwenyezi Mungu kuliko wale wenye kumuamini?