پھر ہم نے تمہیں اس کے بعد بھی معاف کیا تاکہ تم شکر کرو
تفاسیر
لیئرز
اسباق
تدبرات
جوابات
قرأت
حدیث
Kisha tukawasamehe kitendo hiki kibaya, tukakubali toba yenu baada ya kurudi Musa kwa kutarajia kuwa mtamshukuru Mwenyezi Mungu kwa neema Zake na fadhila Zake juu yenu, na hamtaendelea kwenye ukafiri na uasi.