وتتخذون مصانع لعلكم تخلدون ١٢٩
وَتَتَّخِذُونَ مَصَانِعَ لَعَلَّكُمْ تَخْلُدُونَ ١٢٩
وَتَتَّخِذُوْنَ
مَصَانِعَ
لَعَلَّكُمْ
تَخْلُدُوْنَ
۟ۚ
3
Na mnafanya majumba imara na ngome zilizojengwa madhubuti, kama kwamba nyinyi mtakaa milele duniani na hamtakufa.