قال رب ان قومي كذبون ١١٧
قَالَ رَبِّ إِنَّ قَوْمِى كَذَّبُونِ ١١٧
قَالَ
رَبِّ
اِنَّ
قَوْمِیْ
كَذَّبُوْنِ
۟ۚۖ
3
Nūḥ aliposikia neno lao hili, alimuomba Mola wake kwa kusema, «Mola wangu! Kwa hakika watu wangu wameamua kuendelea kunikanusha,