قالوا لين لم تنته يا نوح لتكونن من المرجومين ١١٦
قَالُوا۟ لَئِن لَّمْ تَنتَهِ يَـٰنُوحُ لَتَكُونَنَّ مِنَ ٱلْمَرْجُومِينَ ١١٦
قَالُوْا
لَىِٕنْ
لَّمْ
تَنْتَهِ
یٰنُوْحُ
لَتَكُوْنَنَّ
مِنَ
الْمَرْجُوْمِیْنَ
۟ؕ
3
Hapo watu wa Nūḥ waliacha kubishana na wakaamua kutoa vitisho, hivyo basi wakamuambia, «Usiporudi nyuma, ewe Nūḥ, ukaacha huo ulinganizi wako, utakuwa ni miongoni mwa wenye kuuawa kwa kupigwa mawe.»