قال وما علمي بما كانوا يعملون ١١٢
قَالَ وَمَا عِلْمِى بِمَا كَانُوا۟ يَعْمَلُونَ ١١٢
قَالَ
وَمَا
عِلْمِیْ
بِمَا
كَانُوْا
یَعْمَلُوْنَ
۟ۚ
3
Nūḥ, amani imshukie, aliwajibu kwa kusema, «Sikupewa jukumu la kujua matendo yao. Jukumu nililopewa ni kuwalingania wao kwenye Imani. Na linalozingatiwa ni Imani, na sio cheo, ukoo, kazi na ujuzi wa sanaa.