لا يملكون الشفاعة الا من اتخذ عند الرحمان عهدا ٨٧
لَّا يَمْلِكُونَ ٱلشَّفَـٰعَةَ إِلَّا مَنِ ٱتَّخَذَ عِندَ ٱلرَّحْمَـٰنِ عَهْدًۭا ٨٧
لَا
یَمْلِكُوْنَ
الشَّفَاعَةَ
اِلَّا
مَنِ
اتَّخَذَ
عِنْدَ
الرَّحْمٰنِ
عَهْدًا
۟ۘ
3
Makafiri hawa hawatakuwa na uwezo wa kumuombea yoyote. Watakaokuwa na uwezo huo ni wale waliochukua ahadi ya hilo mbele ya Mwingi wa rehema, nao ni wale waliomuamini Mwenyezi Mungu na Mitume Wake.