Клянусь ночью, когда она успокаивается (или покрывается мраком)!
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Na kwa usiku utuliapo na viumbe na likashadidi giza lake. Mwenyezi Mungu Huapa kwa Atakacho katika viumbe vyake. Ama kiumbe, hafai kuapa kwa asiyekuwa Muumba wake. Kuapa kwa asiyekuwa Mwenyezi Mungu ni ushirikina.