Если даже ты будешь говорить громко, Ему все равно известно тайное и сокрытое.
Тафсиры
Слои
Уроки
Размышления
Ответы
Кираат
Хадис
Na ukitoa sauti, ewe Mtume, katika kusema ukaifanya ya juu au ya chini, basi hakuna chochote kinachofichika kwa Mwenyezi Mungu, Anajua siri na kilichofichika zaidi kuliko siri katika vitu ambavyo nafsi yako inakuzungumzia.